Deuteronomy 30:15-16

15 aTazama, naweka mbele yako leo uzima na mafanikio, mauti na maangamizo. 16 bNinakuamuru leo kwamba umpende Bwana Mungu wako, utembee katika njia zake, na kutunza maagizo yake, amri na sheria zake; ndipo utakapoishi na kuongezeka, naye Bwana Mungu wako atakubariki katika nchi unayoingia kuimiliki.

Copyright information for SwhNEN